Filamu hii inaonyesha namna ya kumpima mtoto mwenye maambukizi ya kiunga mwana, jinsi ya kutofautisha maambukizi yasio makali na makali, na jinsi ya kutibu maambukizi yasio makali na kutoa ushauri wa kuwapeleka watoto wenye maambukizi makali kwenye hospitali ya kiutaalamu.